Thursday, 24 November 2016

MAHAKAMA YATAKA NEYMAR KUFUNGWA JELA


Mshambulizi wa Barcelona, Neymar Jr
By SHIM SHELDON

Mahakama nchini Uhispania yataka winga matata wa Barcelona Neymar Jr kutumikia kifungo cha miaka miwili kufuatia ufisadi uliotokea katika uhamisho wake wa mwaka 2013 kutoka Santos ya Brazil.  



Neymar kwa sasa apo katika hali ya wasi wasi,kufuatia pendekezo hilo

No comments: