![]() |
Maafisa wa KWS walilazimika kumpiga risasi baada ya kuwa tishio kwa wakaazi |
Msemaji wa Shirika la Huduma kwa Wanyamapori Paul Gathitu amesema kwamba maafisa walilazimika kumpiga risasi mnyama huyo kwa sababu alikuwa anatishia usalama wa watu.
Amesema maafisa hao walikuwa wametumwa wakiwa na nia ya kumdhibiti lakini akawa mkali zaidi.
Ni kisa ambacho kinatokea siku chache tu baada ya simba mwingine kutoka mbugani na kumjeruhi mtu mmoja katika eneo la Cabanas hapa jijini Nairobi.
No comments:
Post a Comment