![]() |
| Wanafunzi wa chuo cha Chuka wakiondoka shuleni |
BEN KIRUI
Chuo kikuu cha Chuka kimefungwa kwa muda usiojulikana baada
ya wanafunzi kuzua fujo na kuteketeza basi la chuo hicho na pia kuvunja vioo
vya majumba mbalimbali.
Wanafunzi hao wanazozana kuhusiana
na uchaguzi wa wawakilishi wa wanafunzi uliofanyika hivi maajuzi ambao sasa
umechukua mwelekeo wa ukabila.
Naibu chancellor wa chuo hicho
Profesa Erustus Njoka akitangaza kufungwa kwa chuo hicho amesema kuwa uchunguzi
kuhusu jinsi uchaguzi ulivyofanya.
Tayari wanafunzi kumi na nane
wametiwa nguvuni.

No comments:
Post a Comment