Monday, 1 February 2016

WAFUNGWA NAIVASHA WATAMAUSHWA NA ADHABU MPYA YA KUNYONGWA


Wafungwa katika gereza kuu la Naivasha

 Ben Kirui

Wafungwa wanaohudumu kifungo cha kifo katika gereza kuu la Naivasha wameelezea kutamaushwa na adhabu mpya ya kunyongwa iliyotolewa na idara ya mahakama.
Wafungwa hao wamesema kuwa agizo hilo litaathiri maisha yao gerezani wasijuwe la kufanya.Wakikariri kwamba iwapo hukumu hiyo itatekelezwa hamna haja wao kushiriki shughuli za kurekebisha tabia gerezani humo.
Gereza hilo lina wafungwa 3500 wengi wao wakihudumu kifungo cha maisha huku wengine wakisubiri hukumu ya kifo.

No comments: