Monday, 18 April 2016

AMUUA BIBIYE NA KUMZIKA KISIRI

Mwanaume amuua bibi yake kabla ya kutoroka
Ben Kirui

Polisi katika kijiji cha Magao kaunti ya Homa Bay wanamsaka mwanaumme mmoja kwa madai ya kumuua bibi yake na kisha kumzika.

Kulingana na walioshuhudia kisa hicho, mwanamme huyo ambaye ni mvuvi alimgomga bibi yake usoni akitumia kifaa butu kabla ya kumkata sehemu zake za siri.


Akithibitisha kisa hicho, kamanda wa polisi kaunti ya Homa Bay John Omusanga amesema kuwa mshukiwa alitoroka baada ya kutekeleza kitendo hicho cha unyama.

No comments: