![]() |
| Nyota Sadio Mane. |
Na Mwangi K. Githinji.
Miamba wa uingereza Liverpool wamemtwaa
nyota wa Southampton Sadio Mane kwa kandarasi ya miaka mitano.
Bado kitita walichotumia kumnasa
hakijafichuliwa japo inakisiwa kuwa wamemnunua kwa ada ya yuro
milioni 34.
Mane sasa ni mchezaji wa tano kuhama Southampton
kuelekea Anfield chini ya kipindi cha miaka miwili baada ya Dejan Lovren, Adam
Lallana ,Nathaniel Clyne na Rickie Lambert kufanya hivyo.

No comments:
Post a Comment