![]() |
| Mahakama ya Juu nchini |
Ben Kirui
Ubabe wa kisheria unatarajiwa kushuhudiwa hii leo katika mahakama ya juu zaidi wakati ambapo jaji mkuu Dkt Willie Mutunga na naibu wake Kalpana Rawal watakapokabiliana.
Jopo la
majaji watano linatarajiwa kuskiliza ombi la Rawal ambaye anapinga uamuzi wa
kumstaafisha akiwa amefikisha umri wa miaka 70, akitaka kuendelea kuhudumu hadi
miaka 74.
Tayari jaji
Njoki Ndung’u amefika mahakamani kutaka tume ya huduma za majaji kusitisha
uchunguzi dhidi yake.

No comments:
Post a Comment