Tuesday, 15 November 2016

ANTONIO CONTE AJAWA KIWEWE KUTOKANA NA MAJERUHI HAZARD

Na Sheldon Shimekha
 Eden Hazard amemtia kiwewe mkufunzi  wa Chelsea  Antonio Conte.
Mchezaji Hazard
 kutokana na ripoti kwamba alipata majeraha katika mechi kati ya Ubelgiji na Estonia kwa ushindi wa mabao 8-0.

Hazard ambaye ni nahodha wa Ubelgiji alitoka uwanjani akichechemea  jambo lililo ashiria kwamba ni majeruhi.
Hata hivyo Hazard anaitajika kukuiongoza kikosi cha Chelsea siku ya jumapili watakapo safari ugenini dhidi ya Midlisbrour

No comments: