Tuesday, 15 November 2016

BENKI 28 KUHUSISHWA NA SAKATA YA NYS.

Nicholas Gumbo 
Na Racheal Kithaka .

Mwenyekiti wa kamati ya bunge kuhusu uhasibu Nicholas Gumbo , amesema kwamba stakabadhi walizo nazo,wanaendelea kuzidurusu.

 Inadaiwa kwamba benki 28 humu nchini zilihusika katika sakata ya NYS ambapo zilitumika kusambaza mabilioni ya pesa katika idara hiyo.

Hata hivyo taasisi zinazo husika na kukabiliana na ufisadi zimeshutumiwa vikali kwa kutotoa habari hizo ilhali inafaa kuwa wajibu wao .


Hayo yakijiri  mhasibu wa wizara ya afya ambaye alifichua sakata ya jumba la afya amefika mbele ya kamati ya seneti kwa mahojiano zaidi .

No comments: