Tuesday, 15 November 2016

SILAHA ZINAZOMILIKIWA KINYUME CHA SHERIA ZATEKETEZWA.

silaha zateketea
Na Racheal Kithaka.

Waziri wa usalama wa ndani Joseph Nkaissery ameongoza zoezi la kuteketeza silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria humu nchini.

Zoezi hilo ambalo lilifaa kuongozwa na rais uhuru Kenyatta,limefanyika katika eneo la Ngong.

Hafla hiyo ikiendelea jamii za maeneo mengi humu nchini zinashuhudia mapigano ya kikabila huku jamii hizo zikitakiwa kusalimisha silaha hizo kwa polisi.


Wizara ya usalama imetoa madai kuwa zaidi ya silaha elfu mia saba zinamilikiwa na wananchi sheria    

No comments: