![]() |
JAMES ORENGO |
Muungano wa upinzani CORD umeiibua madai ya kuwepo njama za kubadilishwa tarehe ya uchaguzi.
Maseneta James Orengo na Jonestone Muthama wamedai kwamba maafisa wakuu wa IEBC wamekuwa wakifanya mikutano ya siri na naibu rais William Ruto.
Orengo aidha anasema serikali inashirikiana na makamishna wanaoondoka wa IEBC kubadili sheria za uchaguzi ili kuipa ushindi Jubilee.

No comments:
Post a Comment