Thursday, 17 December 2015

AY na DIAMOND PLATNUMZ WAFANYA REMIX.......

Na KakaMusa,



Ambwene Yesaya al maarufu kama AY ameungana na mkali wa bongo flava Diamond Platnumz kufanya remix ya hit ya ZIGO na tayari wanashoot video afrika kusini.
AY (kushoto) na Diamond

Habari hizi zilitolewa jana na kampuni ambayo inatengeza video ya AY, Studio Space Pictures ya afrika kusini.
Studio hii ilitupia picha kwenye mtandao wa Instagram na kuandika “earlier today with @aytanzania @diamondplatnumz #ZigoRemix  #StudioSpacePictures
Haijabainika kama ni Diamond pekee ambaye ameshirikishwa lakini huenda mastaa wengine pia wakahusishwa na msanii AY.
AY kwa sasa anavuma na ngoma aliyoshirikishwa na mtoto wa kike kutoka hapa Kenya Avril Nyambura, No Stress.
Sio mara ya kwanza kwa AY na Diamond kukutana kwani Diamond ashawahi kutupia mistari katika ngoma ya AY iliyoitwa Asante. #Asante

No comments: