![]() |
Mwanaume ahukumiwa na mahakama ya kibera kwa madai ya unajisi |
Ben Kirui
Mahakama ya Kibera
imemhukumu mwanamme mmoja kifungo cha maisha gerezani kwa shtaka la unajisi.
Joseph Muli
ameshtakiwa kwa madai ya kumbaka msichana mwenye umri wa miaka sita eneo la Kibera
mwaka jana. Mtoto huyo anadaiwa kushawishiwa na peremende kabla ya kuingia
katika Nyumba ya mzee huyo aliyembaka.
Mshukiwa ana
muda wa majuma mawili kukata rufaa.
No comments:
Post a Comment