![]() |
Mkurugenzi wa KWS Kitili Mbathi |
Ben kirui
Mkurugenzi wa shirika la uhifadhi wa
wanyamapori nchini KWS Kitili Mbathi anasema wanalenga kuweka ua litakalosaidia
kuzuia wanyama pori dhidi ya kutoka nje punde ujenzi wa barabara ya mkato itakapokamilika.
Mbathi anasema
ujenzi wa barabara hiyo inayopitia katika mbuga ya wanyamapori hapa Nairobi
umeathiri pakubwa shughuli katika mbuga hiyo.
Akizungumza
katika makao makuu ya KWS Mbathi aidha ametetea hatua ya maafisa wa shirika
hilo kumuua kwa kumpiga risasi simba siku ya jumatano katika eneo la Isinya.
No comments:
Post a Comment