Kizaaza kilizuka wakati ambapo
kundi la wafuasi wa kanisa la Legio Maria linalomuunga mkono kiongozi wa kanisa
hilo liliwafukuza waumini wanaomtuhumu kwa kuwa na ufisadi katika kaunti ya Migori.
Waumini hao waliwafukuza kadinali wanaotuhumiwa na
kiongozi huyo kueneza uongo kwamba alitoroka na mwanamke mwenye umri mdogo ambaye anampotosha
kuendeleza miradi ya kanisa bila ushauri wa kamati ya kanisa hilo.
Suala hilo limesababisha mgawanyiko baina ya
kadinali hao na baadhi ya wafuasi ambao wamemtetea mwanamke huyo kwa kumjengea Nyumba
kiongozi huyo anayefahamika kama Papa Romanus Ong’ombe.
No comments:
Post a Comment