Thursday, 17 November 2016

HARAKHE YUKO HURU.

Aliyekuwa naibu mkurugenzi wa NYS Aden Harakhe.

Na Mwiruka Winfred.
 Adan Harakhe na aliyekuwa naibu mkurugenzi wa shurika la NYS amepata afueni baada ya mahakama kuzuia kukamtawa kwake
Jaji wa mahakama kuu Hedwig Ong’undi ameagiza pande husika katika kesi aliowasilisha jana zifike mahakamani.
Aidha jaji huyo amesema Harakhe yuko huru kwa sasa na hatakamtwa..
 Harakhe anakabiliwa na mashtaka ya wizi wa shilingi bilioni 1.6 za NYS. Kesi hiyo itasikizwa tena tarehe 22 mwezi huu.


No comments: