![]() |
Wachezaji wa timu ya taifa ya Uingereza, 'the three lions' |
KAPEDO JNR
Wachezaji wa timu ya
taifa ya Uingereza wamepigwa marufuku dhidi ya kuhudhuria sherehe za usiku, wakiwa
katika ziara yao ya kimataifa
Shirikisho la kandanda nchini Uingereza FA, linachunguza madai
kwamba wachezaji kadha walikua nje ya kambi hadi saa za usiku wa manane, siku
ya Jumamosi baada ya mechi yao dhidi ya Scotland, mechi ambayo Uingereeza
ilishinda kwa mabao matatu bila jibu
Hii inakuja siku 3 baada ya Uingereza kuandikisha sare ya
kufungana mabao 2 dhidi ya Uhispania kwenye mechi ya kirafiki iliyogaragazwa
katika uwanja wa Wembley
Nahodha wa Uingereza muite Wayne Rooney Warza aliomba msamaha
baada ya picha zilizooneshana akiwa mlevi katika harusi moja usiku huo, kitendo
ambacho kilimgadhabisha mkufunzi wa timu ya Manchester United Jose Mourinho
No comments:
Post a Comment