Friday, 25 November 2016

MOURINHO AMWANIA WILLIAN

winga wa Chelsea Willian
Na shim Sheldon

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho ametangaza kumwania Willian wa Chelsea katika dirisha la usajili litakalofunguliwa januari.

Habari hizo zimezuka kutokana na kutoshirikishwa kwa Willian katika mechi za hivi karibuni na Antonio Conte  huku akimtumia Victor Moses kama chaguo lake la kwanza.

Uhamisho huo unatajwa kuwa wa kima cha pauni million 25 lakini klabu ya Chelsea aijaafikia uhamisho huo.

No comments: