![]() |
Rais Kenyatta akiwa anatabasamu |
Robert Mwangi.
Rais
Uhuru Kenyatta amemtetea mkuu wa utumumishi wa umma Joseph Kinyua kihusiana
na madai kuwa aliidhinisha kwa njia isiyo halali malipo ya shilingi milioni mia
nne kwa wasambazaji bidhaa katika wizara ya afya.
Akiongea katika eneo la Kandui kaunti ya Bungoma wakati wa mahala ya
kwanza ya chuuo kikuu cha Kibaabi rais Kenyatta amesema kuwa waliolipwa walitoa
huduma zao kwa wakenya.
Kiongozi wa taifa hata hivyo ametoa wito kwa wakaazi wa Bungoma kuunga
mkono serikali ya Jubilee ili kuhakikisha kuwa wanafufua kiwanda cha karatasi
kilichosambaratika cha Webuye.
Aidha rais amewataka wapinzani
kukosoa serikali kwa njia inayofaa huku akiwakashifu kwa kueneza
propaganga.
No comments:
Post a Comment