Kitabu hicho kinasema kuwa ikiwa msichana ana sura mbaya au ni
mlemavu, inakuwa vigumu kwa wasichana huyo kuolewa na hivyo bwana harusi na
familia yake huomba mahari zaidi.
![]() |
Baadhi ya sura tendeti duniani |
Waziri mmoja alivyambia vyombo vya habari kuwa aya hiyo
itaondolewa baada ya picha za ujumbe huo kusambazwa pakubwa kwenye mitandao ya
kijamii.
Ulipaji mahari ni tamaduni ya karne nyingi kusini mwa bara Asia,
ambapo wazazi wa bibi harusi hutoa pesa, nguo na vito vya thamani kwa familia
ya bwana harusi.
Mizozo inaweza kuibuka kuhusu nipesa ngapi zinaweza kulipwa.
Wakati mwingine endapo bwana harusi na familia yake hawalipwi, Bi harusi
anaweza kudhulumiwa vibaya.
No comments:
Post a Comment