Thursday, 11 May 2017

HASIRA YA WALIOSHINDWA KATIKA ODM YAELEKEZWA KWA PARENO

Jakayo Midiwo na Duale wasemezana
BY ROBERT MWANGI

Kivumbi kinatarajiwa bungeni wakati wa kuwaidhinisha wabunge wapya wa bunge la Afrika Mashariki EALA.

Wabunge wa Jubilee wakiongozwa na kinara wa wengi bungeni Aden Duale wameapa kutoidhinisha jina la mtoto wa kinara mwenza katika NASA Kalonzo Musyoka kwa jina Kennedy Musyoka.

Naye mwenyekiti wa uchaguzi katika ODM Judith Pareno huenda jina lake lisipite baada ya Jubilee na baadhi ya viongozi wa ODM hasa walioanguka katika mchujo wakiongozwa na Jakoyo Midiwo kupinga uteuzi wake.


Naibu rais William Ruto kwa upande wake ameonya viongozi wa NASA dhidi ya kujawa na ubinafsi akisema kwamba hawana utaifa

No comments: