Na Lawrence Muyela
Aliyeuwa mchezaji wa Gor mahia na
Uganda cranes,Geoffry Kiziti “BABA”anatarajiwa kufanya majaribio na mojawapo ya
vilabu vya Getafe na Tenerife vya Uspania kwa mujib wa Uganda portal kawowo
sports.
Mchezaji huyu alipokihama kila cha
Gor mahia na kujiunga na kilabu kimoja cha kule Viettnam ametia fora sana jambo
amambalo limewavutia wapelelezi wa vilabu vya Getafe na Tenerife.
Ikiwa Kizito ataezakupita mtahani
huo wa majaribio,atakuwa mganda wa kwanza kuchezea vilabu kinacho shiriki ligi kuu Uspania.

No comments:
Post a Comment