![]() |
| Picha ya Eric Kiraithe |
By Joan Kinyua
Aliyekuwa msemaji wa polisi, Eric Kiraithe,
ameteuliwa kwa wadhifa wa msemaji mpya wa serikali kuu ya kitaifa.
Kiraithe anachukuwa hatamu mara moja na atahudumu
chini ya wizara ya maswala ya ndani na ushirikishi wa Majukumu ya Serikali ya Kitaifa.
Hadi kuteuliwa msemaji wa polisi amekuwa akihudumu
kama mkuu wa usalama katika viwanja vya ndege nchini.

No comments:
Post a Comment