Tuesday, 26 April 2016

MAMA LUCY KIBAKI AMEFARIKI !!

Rais Mstaafu Mwai Kibaki na mke wa kwanza Lucy Kibaki
Ben Kirui

Mke wa kwanza wa rais mstaafu Mwai Kibaki Mama Lucy Kibaki amefariki akiendelea na matibabu Uingereza

Mama Lucy Amekua akipokea matibabu kwa muda wa mwezi mmoja uliopita humu nchini na huko Uingereza.


Akitoa risala zake,Rais Uhuru Kenyatta amesema kwamba mama Lucy atakumbukwa kwa mchango wake katika ustawi wa taifa hususan kuhusu maadili ya uongozi na mchango wake kuimarisha vita dhidi ya maambukizi ya HIV.

No comments: