![]() |
| Waziri wa Elimu Dkt Fred Matiang'i |
Na Liz Wanjiru
Tume ya maadili na kupambana na
ufisadi nchini EACC imetoa ripoti inayoonyesha kuwa fedha za kufadhili elimu
bila malipo zinafujwa na wakuu wa shule.
Akiongea baada
ya kukabidhiwa ripoti hiyo inayoonyesha ufujaji wa fedha na EACC, waziri wa
Elimu Dkt Fred Matian’gi amesema kuwa ufisadi
huo umechangia kudunisha elimu ya bure nchini huku akipendekeza mabadiliko kufanywa
ili kurekebisha hali.
Kulingana na
ripoti hiyo fedha hizo zimepotea wakati ambapo zabuni hutolewa kwa njia isiyo
halali.

No comments:
Post a Comment