![]() |
| Wakili PLO Lumumba |
Ben Kirui
Wakili PLO
Lumumba ametoa wito kwa majaji wote waliotimia umri wa miaka 70 kuondoka
ofisini kwa hiari ili kuwadhihirishia wakenya
kwamba wanaheshimu sio tu sheria bali pia katiba walipokuwa wanasimamia na
kuamua kesi mbalimbali.
Lumumba amesema hulka ya majaji wa
mahakama ya juu zaidi kuwasilisha kesi katika mahakama ambapo wao pia ni majaji
inawakanganya wakenya ambao wanawategemea kutoa ufasiri wa sheria.

No comments:
Post a Comment