![]() |
| Aaron Ramsey wa Arsenal. |
Na Mwangi K .Githinji.
Meneja mpya wa Manchester United Jose Mourinho
huenda akafufua mzozo wake
na Arsene Wenger tena baada ya habari kuibuka kuwa anapanga kumsajili mchezaji Aaron
Ramsey.
Kwa sasa kocha huyo wa kutoka
Ureno anafanya juhudi kukiongezea nguvu kikosi chake kabla ya kuanza kwa
msimu ujao.
Ramsey ameonyesha viwango
vizuri vya mchezo akiwa na taifa lake la wales nchini ufaransa huku aklisaidia kumaliza
kwenye nafasi ya kwanza katika kundi lao la B mbele ya Uingereza.

No comments:
Post a Comment