NA MTUTA MAJALA
![]() |
| Wanakandanda wa timu ya police fc |
Mkufunzi wa Police FC Francis Mwangi ametetea klabu yake kutokuwa na wasiwasi wowote kutokana na matokeo mazuri ya mahasimu wao wanaojitayarisha kukutana kwenye mchuano ujao.
Mwangi amehakikisha kutokuwa na shinikizo licha ya yeye kusititiza Mtanange huo hautakuwa rahisi hivyo ijapokuwa amekiri kuna uwezekano wa timu yake kushangaza wenyeji hao.
Wanasalia katika nafasi ya kumi na nne kwenye jedwali baada ya thelathini.

No comments:
Post a Comment