Wednesday, 16 November 2016

IEBC KUANDAA MKUTANO NA VYAMA VYA KISIASA.

Alama ya tume ya uchaguzi na mipaka IEBC.
Na Mwiruka Winfred.
IEBC imetoa majina ya watu watano watakaohojiwa katika nafasi ya mwenyekiti mpya wa tume hiyo.
Tume hiyo ya uchaguzi na  mipaka inapanga kuandaa kongamano ya vyama vya kisiasa wakati wowote kujadili hatua zilizopingwa kwenye utekelezaji wa sheria mpya za uchaguzi.

Mojawepo ya masuala makuu yatakayojadiliwa ni pamoja na madai ya CORD yaliyoibuliwa ambapo tayari IEBC imetuma taarifa kudai kuwa CORD inapotosha umma kwa kudai kuwa tume hiyo inahujumu utekelezaji wa sheria hizo.

No comments: