Na Racheal Kithaka
Jeremiah Matokeo ambaye ni mmliki wa jengo lililoporomoka mjini Kisii na kusababisha vifo vya watu tisa amekamatwa hii leo.
Jeremiah Matokeo ambaye ni mmliki wa jengo lililoporomoka mjini Kisii na kusababisha vifo vya watu tisa amekamatwa hii leo.
![]() |
| jengo lililoporomoka mjini kisii |
NCA ambayo ni Mamlaka ya ujenzi nchini iimetoa madai kwamba alikiuka sheria kwa kujenga jengo la orofa
10 badala ya tano aliyoidhinishwa kujenga.
Anatarajiwa kufikishwa mahakamani hapo kesho ili afungukiwe mashtaka ya mauaji
.
.

No comments:
Post a Comment