Thursday, 10 November 2016

MARTHA KARUA KUMUUNGA MKONO RAIS KENYATTA.



Martha Karua - Kiongozi NARC Keny
Na Mwiruka Winfred

Aliyekuwa mgombeaji rais mwaka elfu mbili kumi na tatu Martha Karua na ambaye ni kiongozi wa NARC Kenya,  amesema kuwa  atamuunga mkono rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu ujao.


Karua aidha  amesema kuwa atagombea ugavana katika kaunti ya Kirinyaga mwaka wa 2017 na kuwa haungi  mkono  muungano wowote ule.



Vile vile amesisitiza kuwa atasalia kuwa katika chama cha NARC Kenya katika uchaguzi mkuu ujao.

No comments: