Thursday, 10 November 2016

TRUMP AALIKWA NA RAIS OBAMA KATIKA IKULU YA MAREKANI.

Robert Mwangi

Obama akutana na rais mteule wa Marekani Donald Trump.
Rais wa Marekani anayeondoka Barrack Obama kwa mara ya kwanza kabisa amekutana na rais mteule Donald Trump katika ikulu ya marekani White House.

Hii ni baada ya Trump kumpiku  mwaniaji wa urais kupitia chama cha Democrat Hillary Clinton ambaye ameshambikiwa sana na Obama katiza kampeni zilizopita.

Licha ya cheche za maneno walizorushania katika kipindi cha kampeni wawili hao walikutana na kujadili masuala yenye umuhimu wa taifa hilo la Marekani.


Ushindi wa Trump ulitokea licha kampuni zote za utafiti nchini marekani na mataifa mengine kubashiri kuwa Clinton angechanguliwa kuwa rais wa nchi hiyo yenye ushawishi mkubwa zaidi duniani.

No comments: