Na KakaMusa,
Watu wengi
haswaa mashabiki wa muziki hawafahamu kuwa BEEF na DISS ni vitu viwili tofauti kabisa.
![]() |
| Msanii na Produsa Mitaa Kisauni |
Msanii na
prudusa wa muziki wa kizazi cha sasa aina ya Hip Hop, Mitaa Kisauni, amesema kuwa ni muhimu kwa watu kutofautisha haya
mawili.
Akizungumza
na Kituo cha @ecnradio 99.9fm
mixlr.com/new-ecn-radio katika kipindi cha #ECNAlasiri,
Mitaa amesema kuwa BEEF ni chuki na hasira ilhali DISS ni utani na
kuchongoana tu.
“BEEF
ni gundu na bonge la jealous lakini DISS
ni utani au magoa,” alisema Mitaa siku ya Ijumaa.
Mitaa
Kisauni alikuwa katika media tour
huku akiandamana na msanii mwenzake Katoi
Wa Tabaka. #Asante

No comments:
Post a Comment