Wednesday, 9 December 2015



senetor wa madera billow kerrow (kulia) pamoja na viongozi wengine wa mandera  wakati akiomba msamaha kwa umma kuhusiana na  makaburi ya halaiki eneo la lathe kaunti ya mandera.

By Dennis  Milimo
Seneta wa mandera billow kerrow ameomba msamaha kwa umma kuhusiana na madai aliyokuwa ametoa hapo awali kuhusiana na kupatikana kwa makaburi ya halaiki katika eneo la lathe kaunti ya mandera mapema wiki hii .
Hii inajiri baada ya waziei wa usalama wa ndani joseph nkaisserykumwamuru kuomba msamaha la sivyo  achululiwe hatua za kisheria.
Makaburi ya halaiki yaliyokisiwa kuwa na miili ya watu  zaidi yalipatikana bila  watu  baada ya polisi kuyachimbua.
Kulingana na nkaisssery mwanamke aliyepatikana katika mojawapo ya makaburi hayo, anakisiwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la al shaab. Huku akikana kuwa serekali kuhusika katika mauwaji hayo.
Nkaissery pia amewata wanahabri mohhamed ali pamoja na yassin juma kuomba msamaha kwa wakenya kwa kile anadai kuwa ni kupotosha umma.

No comments: