Na KakaMusa.
Baada ya
kuachia collabo ya MBONA ambayo itasalia favorite kwa
masikio ya wengi, DADDY OWEN inadaiwa kuwa alimlipa DENNO
shilingi milioni 1.
![]() | |
| Denno, Bahati na Daddy Owen |
Licha ya
hayo, msanii BAHATI amesema kuwa DENNO amekuwa
akiishi maisha ya umaskini na huenda alilaghaiwa na hakupewa pesa hizo.
Hata hivyo, DADDY
OWEN amejitokeza kinoma na kukanusha kuwa alimtumia DENNO
kujifaidi mwenyewe.
“Nimeona
watu wanatupiana maneno online lakini kama mtu mzima nimeona bora niende
niongee na DENNO na familia kuhusu hili suala. Nimekuwa kwenye industry
kwa miaka na siwezi hold grudges na mtu juu najua haya mambo
huufanyika.” amesema DADDY OWEN.
Juzi DENNO na BAHATI waliachia kibao kinaitwa STORY YANGU ambacho kinaonyesha ni kama DENNO anateseka kisha BAHATI anamsaidia.

No comments:
Post a Comment