![]() |
| Aliyekuwa waziri wa Ugatuzi Ann Waiguru |
Ben Kirui
Aliyekuwa waziri wa ugatuzi Anne
Waiguru amefika mbele ya tume ya maadili na ufisadi asubuhi leo huku mfanyibiashara
Josphine Kabura akitarajiwa kufika mbele ya EACC hiyo kesho.
Waiguru ametajwa
kama mhusika mkuu wa sakata ya ufujaji wa shilingi milioni 791 za shirika la
huduma kwa vijana NYS
Kufika kwa
Waiguru EACC kunatokana na hati ya kiapo iliyowasilishwa mahakamani na
mfanyibiashara Josephine Kabura ambaye anasema alishirikiana na Waiguru
kutekeleza ufujaji huo.

No comments:
Post a Comment