Wednesday, 2 March 2016

AFISA MMOJA AUAWA NA MAJAMBAJI DANDORA



 Ben kirui

Afisa mmoja wa polisi ameuwawa baada ya kupigwa risasi na kundi la majambazi katika mtaa wa Dandora hapa Nairobi.
Mshukiwa mmoja wa ujambazi pia ameuwawa kwenye ufyatulianaji wa risasi baina ya washukiwa hao na polisi usiku wa kuamkia leo. Polisi wanaendesha msako wa washukiwa wengine wanne waliofanikiwa kutoweka.

No comments: