Tuesday, 15 March 2016

IEBC KUTAMATISHA USAJILI WA WAPIGA KURA LEO.


Usajili wa wapiga kura nchini

By Lena Juliet.

 Hii leo ndio siku ya mwisho kabisa ya usajili wa wapiga kura, zoezi ambalo limekuwa likiendelea kwa mwezi mmoja uliopita kote nchini.
Tume hiyo imefeli kutimiza lengo lake la idadi iliyotarajiwa ya usajili wa wapiga kura wapya millioni nne.
Wapiga kura wengi wamelalama kuhusu kutopewa uhamasisho wa kutosha, kukosa vitambulisho na vijana wakikashifu serikali kwa uongozi mbaya.
IEBC kwa upande wake inashikilia kwamba haitaongeza muda wa usajili wa watu kutokana na uhaba wa fedha.

No comments: