![]() |
| Mafuriko baada ya mvua kubwa. |
Familia zaidi ya tisini na Mbili wameachwa bila mahala pa kukaa baada ya nyumba zao kusombwa na mafuriko usiku wa kuamkia leo kaunti ya isiolo.
Kulingana na shirika la msalaba mwekundu maeneo ya Wadera na Mwangaza ndiyo yalioathirika zaidi na mafuriko hayo yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha eneo hilo.
Aidha shirika hilo linatarajiwa kuzuru eneo hilo kuwapa misaada ya chakula, mavazi na hema waathiriwa hao.

No comments:
Post a Comment