Viongozi na wenyeji wa kaunti ya
Samburu wameilaumu tume ya uchaguzi na mipaka IEBC kwa kukosa kufikia maeneo
yote ya kaunti hiyo katika zoezi linaloendelea kuwasajili wapiga kura.
Gavana wa Samburu Moses Lenolkulal
anasema licha ya muda mfupi uliosalia makarani wa IEBC hawajafika katika baadhi
ya vituo kaunti hiyo.
Nao wenyeji wameitaka srikal
kuwatuma maafisa wa usajili wa watu katika maeneo ya mashinani ili kufikia
wakaazi wanaotaka vitambulisho vya kitaifa.

No comments:
Post a Comment