Wednesday, 13 April 2016

BABU AZUILIWA NA POLISI KWA MADAI YA UBAKAJI

Ben Kirui

Babu mmoja wa miaka 57 kutoka kijiji cha Nyathuna eneo bunge la Kabete kaunti ya Kiambu anazuiliwa na maafisa wa polisi kwa madai ya kumpachika mimba mjukuu wake wa kidato cha kwanza.

Msichana huyo amesema babu yake amekuwa akimdulumu kimapenzi kwa miaka mitatu iliyopita tangu alipokuwa darasa la saba.


Nyanyake ameeleza kuwa msichana huyo amekuwa akihofu kujitokeza hadharani kwa muda huo wote. 

No comments: