Monday, 30 May 2016

BUSTANI LA UHURU LA ZUA UTATA BAINA YA CORD NA KANISA LA PRAYERS BEYOND BOUNDARIES





WANACORD NA WANANCHI

na DAVID MULI


Makabiliano yanendelea  kushuhudiwa kuhusu atakayeruhusiwa kuandaa mkutano katika bustani ya Uhuru siku ya Jumatano kati ya mrengo wa CORD na kanisa la Prayers Beyond Boundaries. Hii ni baada ya kinara wa CORD Raila Odinga kusisitiza kuwa mkutano wao utaendelea japo wanalenga kuutumia kushiriki maombi na kuwa hautatumika kisiasa. Raila amepuuzilia mbali onyo kutoka kwa waziri wa usalama Joseph Nkaissery kuhusu kuandaliwa kwa mkutano huo siku hiyo ya madaraka dei.

No comments: