![]() |
| Kinara wa Cord Raila Odinga |
Na Ben Kirui
Kinara wa
Cord Raila Odinga amesisitiza kwamba muungano wa Cord utaandaa mkutano wa
hadhara katika uwanja wa Uhuru hapa Nairobi siku ya jumatano licha ya baadhi ya
viongozi wa kidini kushikilia kwamba wanapanga kutumia uwanja huo siku hiyo.
Haya yanajiri
huku rais Uhuru Kenyatta akitarajiwa kuogoza taifa katika kuadhimisha sherehe
za madaraka katika uwanja wa Afraha mjini Nakuru.

No comments:
Post a Comment