![]() |
| Katibu mkuu wa KNUT Wilson Sossion |
Na Ben Kirui
Katibu mkuu
wa chama cha walimu nchini KNUT Wilson Sossion amemtaka waziri wa elimu Dkt
Fred Mating’i kukoma kuingilia usimamizi wa maswala ya walimu.
Akizungumza huko
Kericho Sossion amesema jaribio la serikali kutaka kumbandua uongozini
halitafaulu kwa kuwa walimu tayari wamempa jukumu la kusimamia na kutetea
maslahi yao kikamilifu.
Sossion aidha,
amemtaka rais Uhuru Kenyatta kuingilia kati mgogoro unaonukia kati yake na waziri
wa elimu Fred Matiang’i.

No comments:
Post a Comment