![]() |
| Mwendazake Jacob Juma |
Ben Kirui
Misa ya wafu ya mfanyibiashara
aliyeuawa wiki iliyopita inaendelea katika kanisa la All saints Cathedral hapa
jijini Nairobi.
Kinara wa Cord Raila Odinga na kiongozi wa chama cha Amani National Congress Musalia Mudavadi miongoni mwa viongozi wengine wanahudhuria misa hiyo.
Baada ya
kukamilika kwa misa mwili wa Juma utapelekwa katika bustani ya Uhuru ambapo
umma utaruhusiwa kuutazama.
Jacob Juma
aliuawa na watu ambao hawajatambulika kwa kupigwa risasi kufikia Jumatano
polisi walikuwa wakiendelea na uchunguzi kubainisha kifo hicho.

No comments:
Post a Comment