![]() |
| Wapenzi wa jinsia moja |
Wanasema kuwa walilazimishwa kufanyiwa ukaguzi wa magonjwa ya virusi vya ukimwi na Hepatitis kufuatia kukamatwa kwao mnamo mwezi Februari 2015 baada ya kushukiwa kwamba wanashiriki katika ngono ya mapenzi ya jinsia moja.
Vitendo vya wapenzi wa jinsia moja kushiriki ngono ni kinyume na sheria hapa nchini na adhabu ya makosa hayo ni kuhukumiwa miaka 14 gerezani.
Mahakama ya Mombasa imewapatia mawakili wa serikali wiki moja kutoa jibu.

1 comment:
TO HELL WITH THEM
Post a Comment