![]() |
| Aliyekuwa nyota wa Ryan Giggs. |
Na Mwangi K. Githinji.
Ryan Giggs anakaribia kuteuliwa kama
meneja wa klabu cha Nottingham
Forest kinachoshiriki ligi ya daraja la kwanza .
Giggs mwenye umri wa
miaka 42 ambapo amekuwa na united kwa kipindi cha miaka 29 tangia alipokuwa chipukizi.
Inasemekana kwamba Giggs
alikataa ofa ya kocha Jose Mourinho ya kufanya kazi na timu ya vijana baada
yake kumteua Luis Faria kama naibu wake.
Kigogo huyo alikuwa
anatarajia kuchukua hatamu huko Old Trafford kabla ya ujio wa Mourinho , alipoachishwa kazi mkufunzi Luis Van gaal.

No comments:
Post a Comment