![]() |
| Mchezaji Pierre Emerick Aubemeyang |
Vilabu vya Manchester
United na Manchester City vimeingia kati vita vya mgao vinapoiwania sahihi ya
mchezaji nyota wa klabu cha Borussia
Dortmund Pierre-Emerick Aubameyang.
Straika huyo
anayekisiwa kugharimu ada ya yuro milioni £65 amefana sana akiwa na miamba hao
wa ujerumani msimu huu, ambapo amefaulu kutia kimiani jumla ya mabao 36.
Jose Mourinho na Pep
Guardiola wanaripotiwa kuwinda sahihi yake licha yake kuwa na mkataba unaombakiza
huko Westfalenstadion hadi mwaka wa 2020.
Kando na City na United Aubameyang pia amehusishwa na uhamisho wa kwenda Arsena na Real Madrid.
Kando na City na United Aubameyang pia amehusishwa na uhamisho wa kwenda Arsena na Real Madrid.

No comments:
Post a Comment