Thursday, 30 June 2016

LO!REFARII LOPES ALA URODA NA MAKAHABA.

Mwamuzi Herber Lopes na kahaba wawili.
Na Mwangi K. Githinji.
Mwamuzi mmoja anaripotiwa  kusheherekea kuhusishwa kwake kwenye mechi ya fainali ya michuano ya Copa America wakati Chile ilipokabiliana na Argentina kwa kuponda raha na makahaba wawili.
Kwenye mechi hiyo refarii Heber Lopes alipatiana kadi za njano tisa huku akiwafurusha wachezaji wa Chile na Argentina Marcelo Diaz na Marcos Rojo mtawalia ambapo alikashifiwa sana kutokana na maamuzi mengi aliyofanya ya utata.
Kando na hayo kanda inayomuonyesha Lopes akijiburudisha na kahaba hao imeendelea kuvunja kwenye mitandao ya kijamii.

Takwimu zinaonyesha kwamba mwamuzi huyo ametoa kadi 14 nyekundu kwenye mechi 27 za mwisho alizozisimamia.

No comments: